• Home
  • My Saves
  • My Interests
  • My Feed
  • Contact
  • Watch Live
  • Politics
  • Kenyan News
  • Health
  • Technology
  • Transport
  • Uvoro Special
  • World
  • Sports
  • Agriculture
  • Business
  • Security

Archives

  • June 2025
  • April 2025
  • March 2025
  • February 2025
  • January 2025
  • December 2024
  • November 2024
  • October 2024
  • September 2024
  • August 2024

Categories

  • African News
  • Agriculture
  • Business
  • Community
  • Culture
  • Development
  • Education
  • Embu County
  • Entertainment
  • Environment
  • Health
  • History
  • Kenyan News
  • News
  • Opinion
  • Politics
  • Religion
  • Security
  • Sports
  • Technology
  • Tourism
  • Transport
  • Uvoro Special
uvorotv.co.ke > News > Kenyan News > Vijana Wamiminika Barabarani Nairobi Wakitaka Haki kwa Al bert Ojwang’
Kenyan News

Vijana Wamiminika Barabarani Nairobi Wakitaka Haki kwa Al bert Ojwang’

Grace Kamau
Last updated: June 12, 2025 1:39 pm
Grace Kamau
Share
SHARE

Maelfu ya vijana waliingia mitaani katika maeneo mbalimbali ya jiji la Nairobi Jumanne wakitaka kujiuzulu kwa Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Eliud Lagat, wakihusisha afisi yake na kifo cha mwanablogu Albert Ojwang’.

Maandamano hayo yaliibua hali ya taharuki jijini huku shughuli nyingi zikiathirika, hasa wakati ambapo nchi inasubiri hotuba ya bajeti ya mwaka wa kifedha 2025/2026 kutoka kwa Waziri wa Fedha, John Mbadi.

Waandamanaji walionekana wakielekea maeneo ya jiji kuu, wakipitia barabara muhimu kama vile Harambee Avenue, huku wakizuiwa kwa vitoa machozi na polisi waliowekwa kulinda majengo ya serikali ikiwemo Bunge la Kitaifa. Kundi hilo pia liliimba nyimbo za upinzani na kauli maarufu ya “Wantam” huku wengine wakivalia nguo zenye rangi za bendera ya taifa.

Polisi waliimarisha doria na kufunga baadhi ya barabara, wakiweka vizuizi na kufanya ukaguzi mkali hasa kwenye barabara ya Thika, juhudi ambazo zilionekana kama njia ya kudhibiti wingi wa watu wanaoingia katikati mwa jiji.

Kutokana na hali ya sintofahamu, baadhi ya wafanyabiashara walilazimika kufunga maduka yao kwa hofu ya uvunjaji wa amani na uporaji.

Maandamano haya yanajiri wakati viongozi waandamizi wa polisi wakiongozwa na Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja na Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Jinai (DCI) Mohamed Amin wakitoa ushahidi mbele ya Kamati ya Bunge kuhusu kifo cha Ojwang’, tukio ambalo limezua hisia kali kitaifa.

Share This Article
Twitter Email Copy Link Print
By Grace Kamau
slot gacor hari ini Slot Gacor mantul138 mantul138 login mantul138 foya88 slot online foya88 receh69 receh69 receh69 login receh69 login puas69 puas69 login Puas69 mewahbet mewah99 pasukan88 receh88 berita bola hari ini daftar slot gacor terbaru list slot gacor terbaru pasukan88 slot online situs slot gacor pasukan88 login puas69 mewahbet login slot online mewah99 receh69 foya88 slot gacor
Previous Article RAIS RUTO AMTEUA MWENYEKITI MPYA WA TUME YA IEBC LICHA YA AMRI YA MAHAKAMA.
Next Article Ruto: Sitakabidhi Uongozi kwa Upinzani “Wenye Hasira na Waliokosa Mpangilio”
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recent Posts

  • Mashirika Makuu ya Habari Yaishtaki Serikali kwa Kusitisha Matangazo ya Moja kwa Moja ya Maandamano
  • Mbunge Gitonga Mukunji Alaani Uporaji na Uharibifu wa Mali Wakati wa Maandamano ya Gen Z Mjini Embu.
  • Watu Wanane Wauawa, Majeruhi 400 Wanaripotiwa Wakati wa Maandamano ya Juni 25 – KNCHR
  • Kamanda Seda Akanusha Ushirikiano wa Polisi na Wahuni, Aahidi Uchunguzi Kufuatia Maandamano Nairobi
  • Rais William Ruto Atia saini Mswada wa Marekebisho ya Sheria Dhidi ya Utakatishaji Fedha na Ufadhili wa Ugaidi kuwa Sheria

Recent Comments

No comments to show.

You Might Also Like

Kenyan News

Kamanda Seda Akanusha Ushirikiano wa Polisi na Wahuni, Aahidi Uchunguzi Kufuatia Maandamano Nairobi

By Grace Kamau
BusinessDevelopmentKenyan News

Kilifi County Benefits from Multi-Billion Shilling Projects under BETA

By Uvoro
Kenyan NewsPolitics

Solicitor General Launches Attorney General’s Office in Wajir

By Uvoro

Kenya Re Supports Injured Police Officers with Donations and Assistive Devices

By Uvoro

© 2024 Uvoro Tv. All Rights Reserved.

Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?